Headlines News :

Home » , »

Written By Unknown on Friday, 23 November 2012 | 01:36

"MIMI NA STREO NI BALAAA...." STAMINA

Kwa wale wapenzi wa Hip Hop nchini hii itakuwa inawahusu kwani collabo kali kutoka kwa wasanii wa Hip Hop zimeendelea kung’ara kwenye anga hizi. Round hii tegemeeni collabo kali kutoka kwa Stamina na mkali Stereo. Kupitia Facebook Account yake,  Stamina ,ambaye anatumia jina la Stamina Kabwela SuperMario aliweza kupost ujumbe usemao  hivi: Post hiyo ambayo iliambatana na picha ya Stamina akiwa na Stereo iliwafanya watu waanze kucomment na ndipo moja ya comment kutoka kwa Stamina akijibu comment ya Joseph ilsema “yap kuna ngoma tumefanya ni balaaaaa@joseph”. Baada ya comment nyingi kutokana  na status hiyo ...
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Designed and Bloggerized by | Tryphone Chasama Jr | 0719 625003/0765860437
Proudly powered by BONGO BLOG DESIGNERS
Copyright © 2012. HABARI BONGO - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template