Headlines News :

Home » , » HUU NDIO MWILI WA SHALOMILLIONEA

HUU NDIO MWILI WA SHALOMILLIONEA

Written By Unknown on Wednesday 28 November 2012 | 00:54

                                   

MSANII WA VICHEKESHO NA MUZKI SHARO MILIONEA  AMEFARIKI LEO HUKO MUHEZA TANGA KWA AJALI YA GARI AMBAPO NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI AMETHIBITISHA  TUKIO HILO  KWA NJIA YA SIMU .....

 

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Afande Constatine Masawe, amethibitisha  kutokea kwa  kifo cha  wa Sharobaro, kufuatia  ajali ya gari  katika kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani Tanga  ambako ndio nyumbani kwao.......

 

MPAKA SASA MWILI UPO  HOSPITALI TEULE   YA MUHEZA ,TANGA

           
Akizungumza na simu na Millard Ayo wa Clouds FM RPC wa mkoa wa Tanga alisema: "“leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani Mkiety au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza.”

Kwa taarifa zaidi endelea kutembea mtandao huu kujua taratibu za mazishi za msiba huu mkubwa kwenye tasnia ya burudani nchini Tanzania
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Designed and Bloggerized by | Tryphone Chasama Jr | 0719 625003/0765860437
Proudly powered by BONGO BLOG DESIGNERS
Copyright © 2012. HABARI BONGO - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template