Headlines News :

Home » , » TUZO ZAMFAFANA AY APATE SHAVU LA KUPIGA COLABO NA J MARTINS

TUZO ZAMFAFANA AY APATE SHAVU LA KUPIGA COLABO NA J MARTINS

Written By Unknown on Monday 26 November 2012 | 00:42



Kwa wale ambao walikuwa wakifuatilia kwa karibu, habari za msanii Diamond kwa kipindi kirefu cha mwaka huu watapata kushangaa nini kimetokea kwa kolabo yake na msanii J Martins ambayo amekuwa akiitangaza mara kwa mara huko nyuma.


Kwa sasa inaonekana msanii huyo kutoka Nigeria atafanya kazi na msanii aliyepata tuzo ya video bora Afrika Mashariki kupitia Kolabo na wasanii wa Kenya Sauti Sol, Ay na swahiba wake wa karibu Mwana FA.

Kwa mujibu wa tetesi za chinichini, mipango yote ya kolabo hiyo imeshaiva na pengine kazi hiyo ikakamilika siku si nyingi.


Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Designed and Bloggerized by | Tryphone Chasama Jr | 0719 625003/0765860437
Proudly powered by BONGO BLOG DESIGNERS
Copyright © 2012. HABARI BONGO - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template