Taarifa ya habari ya Star tv ya saa mbili usiku ya tarehe 23/11/2012
imeeleza kuwa wanafunzi wa kike katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM)
wanadaiwa kufanya biashara ya ukahaba katika maeneo mbalimbali ya
starehe mjini Dodoma!
Habari hii inasikitisha hasa ukizingatia
umuhimu wa wasomi hawa katika Tanzania na hatari inayoweza kuwapata kama
taarifa hii ina ukweli.
Kama jamii tujiulize, tatizo ni nini mpaka
mtu wa level kama hiyo kuamua kuvaa vichupi na kujiuza kwenye clubs na
sehemu zingine??CHUO KIKUU cha Dodoma UDOM kinadaiwa kukumbwa na
kashfa ya ngono kufuatia madai kwamba baadhi ya wananafunzi wa kike
wanajihusisha na biashara ya...
Home »
mchanganyiko
,
mpya
» STAR TV YAIBUA TUHUMA NZITO ZA NGONO KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ( UDOM)
STAR TV YAIBUA TUHUMA NZITO ZA NGONO KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ( UDOM)
Written By Unknown on Monday 26 November 2012 | 00:25
Labels:
mchanganyiko,
mpya
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !